Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania akizungumza na wawekezaji
19 January, 2025
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) tarehe 31.10.2024 wamekutana na wawekezaji wa nje na ndani ya Tanzania kwa lengo la kusikiliza changamoto zinazowakabili wawekezaji na kujadili namna bora ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini.
Habari Mpya

TRA NA CTI KUSHIRIKIANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KODI

Biashara saa 24 itaongeza mapato - RC Chalamila

"Tutaendelea kusimamia ustawi wa biashara nchini" - CG Mwenda