Mlipakodi binafsi mwenye hadhi ya juu, Bw. Saidi Salim Bakhresa, ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa juhudi zake endelevu za kutoa elimu ya kodi na kutatua…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua mwezi wa Elimu na Kutatua Changamoto za Walipakodi ili kuendelea kuwahudumia kwa karibu zaidi Walipakodi katika maeneo yao na kutatua…
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amewaonya waajiriwa wapya wa TRA kutojihusisha na vitendo vya Rushwa katika utekelezaji wa majukumu yao…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan ameridhia kuongeza ajira mpya 300 za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kufanya jumla ya ajira zote kufikia…